Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
chemsha akili kidogo...!! then unipe jibu. nguo inauzwa 10000/= huna pesa ukaenda kukopa kwa dada 5000/= na kaka 5000/= jumla 10000/= ukaenda dukani ukaomba upunguziwe ukauziwa 9700/= ukabakiwa na 300 ukapunguza deni kaka yako ukampa 100 dada ukampa 100 ukabaki na 100 jumla kaka akawa anakudai 4900 na dada 4900 ukijumlisha unapata 9800/= ukiongeza na 100 yako uliyobakinayo unapata 9900/=je? 100 iko wapi? nisaidie jibu,
ukipatia nakutumia vocha yako.
Unazunguka sana Kaka,
Iko hivi!
Kaka kakukopa NET 4,900
Dada Kakukopa NET 4,900
Jumla Una 9,800.
Umelipia Nguo 9,700 then ukabaki na chenji 100, then utata uko wapi hapo?
*
*
*
yaani katika alfu 10, umeigawanya kama ifuatavyo.
Nguo 9,700
Kaka 100
Dada 100
Wewe 100
Upo hapo??