Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Duuh, ina maana sijawa sahihi 100% ? Basi natoa lingine, nikikosa nakupa mji! Simba, Chui na Fisi hawawindi/hawaui Twiga. Hapo je?
Twiga haruki
Haa haa haa!! Utajiri wa Bongo haupo kwa wapiganaji, upo kwa mafisadi. Sasa ni nini? Hebu usijibu kwanza labda nikipata lunch akili itafanya kazi. Saa hizi njaa inauma, I'll be back!
© Copyright by Sinkala
Sijajua fani yako ila ungekuwa Mwalimu ungeishia kuwapa wanafunzi wako alama 20 kwa 20 kama swali lilikuwa na Alama hizo. Maana swali lenyewe halieleweki na ukiliangalia vizuri halina uhusiano na Watalii, Ngorongoro, jiwe la futi 6 na hao wanyama. Liangalie na ulitunge upya vinginevyo ukitengeneza Marking Scheme yako itakuwa na mapungufu mengi.
Salamu.
Jamani hongera kwa woote mliojaribu, mlijitahidi kiasi chenu....natoa jibu sasa;...............
.........
Katika hifadhi ya kreta ya Ngorongoro hakuna Twiga......(yaani hakuna mnyama Twiga aneishi mle mbugani)