Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Haiwezekani kuwa Viini vyote ni bora kuna viini 2 vya kutengeneza kwa madawa na kuna kiini 1 ndio cha kuku wa kienyeji nacho ndio cha afya kuliwa kwa binadamu vilivyobakia utapata maradhi ukila. Mkuu.@ TUKUTUKU ninakutakia sikukuu njema.Mimi naona vyot ni bora,tofauti iliyopo ni aina tu ya mayai!
Nami pia nakutakia sikukuu njema,pia nashukuru kwa kunielimisha!Haiwezekani kuwa Viini vyote ni bora kuna viini 2 vya kutengeneza kwa madawa na kuna kiini 1 ndio cha kuku wa kienyeji nacho ndio cha afya kuliwa kwa binadamu vilivyobakia utapata maradhi ukila. Mkuu.@ TUKUTUKU ninakutakia sikukuu njema.
Mkuu.@haamym Umekoseajaribu tena na angalia hii video inaweza kukupa muangaza fulani.Cha kwanza hiko chekundu ndio cha kuliwa