jaffari yogo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 685
- 148
Wadau wangu
leo nina zawadi kubwa lakini
naombeni mjibu maswali yafuatayo.
(1) Nitajie jina la ndege
ambae jina lake ukitoa herufi
mbili za mwanzo unapata jina la
samaki na ukitoa mbili za
mwisho unapata jina la tunda na
ukisoma kinyumenyume ukatoa
erufi za mwanzo mbili unapata
jina la silaha???!
(2) Taja majina mawili ya wadudu ambao ukiunganisha majina yao unapata cheo cha mfanyakazi wa serikali. Mshindi wa kwanza kupata jibu nitamzawadia. Ninamaanisha ninachosema jaribu waweza kuwa mshindi wa maswali hayo.
leo nina zawadi kubwa lakini
naombeni mjibu maswali yafuatayo.
(1) Nitajie jina la ndege
ambae jina lake ukitoa herufi
mbili za mwanzo unapata jina la
samaki na ukitoa mbili za
mwisho unapata jina la tunda na
ukisoma kinyumenyume ukatoa
erufi za mwanzo mbili unapata
jina la silaha???!
(2) Taja majina mawili ya wadudu ambao ukiunganisha majina yao unapata cheo cha mfanyakazi wa serikali. Mshindi wa kwanza kupata jibu nitamzawadia. Ninamaanisha ninachosema jaribu waweza kuwa mshindi wa maswali hayo.