Chemsha Bongo!!

Chemsha Bongo!!

FUSO

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2010
Posts
34,181
Reaction score
41,563
Wakuu hebu tuchemshe bongo zetu kidogo, Je ni nani anaweza kunipa idadi ya magari yote yatakayosajiliwa hapa Tanzania kwa kufuata mfumo huu.

Gari ya kwanza kusajiliwa hapa nchini ni yenye number T001 AAA na gari ya mwisho kabisa kusajiliwa itakuwa T999 ZZZ.

Je kutakuwa na magari mangapi? Onyesha namna jibu lilivyopatikana...zawadi nono kwa mshindi itatolewa.

Karibuni tuchemshe Bongo zetu.
 
12,413,952 Hesabu kabla ya kula msuba, bado baada ya kula msuba.
 
Kuna alphabet 26 hivyo AAA mpaka ZZZ Ni sawa na 26x26x26 na pia Kuna T001 mpaka T999

Hivyo 26x26x26x999 Ni 17,558,424

Hii ndio idadi ya magari 17558424
 
Kuna alphabet 26 hivyo AAA mpaka ZZZ Ni sawa na 26x26x26 na pia Kuna T001 mpaka T999
Hivyo 26x26x26x999 Ni 17,558,424
Hii ndio idadi ya magari 17558424
kumbe 17milion tu. Inabidi nafanye halaka ninunue ka ist kangu mapema nisije kosa namba
 
magari yatakuwa zaidi ya 5m

msinichoshe.
 
Kuna alphabet 26 hivyo AAA mpaka ZZZ Ni sawa na 26x26x26 na pia Kuna T001 mpaka T999
Hivyo 26x26x26x999 Ni 17,558,424
Hii ndio idadi ya magari 17558424
Mkuu hapo kumbuka kuna herufi huwa haziwekwi mwanzo mf: o na i
 
17, 558,424

ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ [emoji377]
 
Back
Top Bottom