chemsha bongo

Che Kalizozele

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2008
Posts
777
Reaction score
50
Una kikapu ndani yake kuna machungwa kumi ambayo unataka kuwagawia watoto kumi,kila mmoja anatakiwa kupata chungwa moja na ndani ya kikapu libaki chungwa moja.Ebu sema utayagawa vipi!
 
Kapu lina machungwa kumi watoto kumi wataka libaki moja litatoka wapi.Manyau nyau angeweza kukusaidia mie simo mazee
 
Haya machungwa kumi uwagawie watoto kumi libaki chungwa moja...?
 
Haya machungwa kumi uwagawie watoto kumi libaki chungwa moja...?

Ndio mkuu,unataka kusema haiwezekani!

Here we go,unachukua machungwa tisa unawapa watoto tisa kwenye kapu linabaki moja kisha unachukua kapu pamoja na chungwa lililobaki unampa mtoto aliyebaki.
 
Unagawa watoto katika makundi matatu. Makundi mawili yanakuwa ya watoto 4, na moja la watoto wawili. Kisha unagawa machungwa matatu kwenye kila kundi. Moja linabaki kama ulivyotaka.
 
I knew the answer umejibu haraka mno mkuu!!!!
 
Umejibu fasta sana mkuu, lakini safi sana ilikuwa bab kubwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…