Chemshabongo

Hakuna atakaekufa

D - huyu atapenya kwenye uwazi wa hilo jiwe
C,B,A - hawa wote watapona maana jiwe linalosukumwa na E limepungua uzito (lina uwazi mkubwa) hivyo halitaweza kuleta madhara yoyote kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…