Elections 2010 Chenge hataki kusign matokeo

 
Kweli aondoke na akwende kula visenti vyake, hana huruma kabisa na wanyonge masikini, ningekuwa na uwezo ninge mpiga kile ki papapapapapapayyyyyyy:bowl:
 
These are the rotten folks napenda tupige chini kwa nguvu zote. Jamaa mchafu ile mbaya. Nashangaa hana hata haibu ya kuomba ubunge tena. Duh. Yataka moyo!
 
hana aibu huyo ni kupigwa chini tu huyo, ni wakati wa kuvitumia vijicent hivyo. Kushindwa kwake ni gud news kwangu
 
Anakataa kusaini kwani jimbo hilo alishalifanya ni mali yake binafisi. Na atambae zake kule. Alaaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…