Ni issue ya kusikitisha na mtu mnafiki utamjuatu.hebu ona leo jk kaagiza jamaa yao mramba apelekwe kisutu mahakamani hadi comedy wameitwa kuigiza, hapo anajishaou kwa wahisani ili wamwage euro, dola,paundi na kadhia akijidai anapambana na mafisadi.wakati wa kura kaonekana akiwanadi kuwa nmramba ni mtu safi.tena chenge yeye kaonekana saaafi hadfi ni mwenyekiti wa kamati ya maadili ya chama chao!