Chenja za JKT zilituhamasisha sana tusitoroke,tukumbushane chenja!

832 Kj opareshen muungano d coy ya morally 2014/2015(walimu) . Chenja nililokuwa nalikubali sana ni malela malela . ila sitasahau siku nilipokamatwa na mp ndomba nikiwa naenda kununua mihigo kijijini( kwa dosa). Hatar sana
 
Tina Tina mtoto wa jeshi
Tina Tina hongera mwana maua

Vijana maua, popote huchanuaaa
twendeeeni tukalijenge Taifaa...

824 KJ ilikuwa ni hatari na baridi lile la Kigoma.
Miaka mingi imepita sasa.
 
Compact, Kigoma
Miaka mingi imepita sasa.[/QUOTE]
Sehem gani?
Halafu wanapenda sana huo wa tina tina wimbo
 
831kj 2015 Tabora operesheni muungano, unamlilia nani kijanaaaa jeshi ulitaka mwenyewe.
 
Punguzeni uraia basi walau kidogo na wote hawa wako shule tu afu mnajifanya jakata kitambo
 
Nyie mujibu shida tupuu

Na yawezekana ndo mlikuwa wagonjwa wa kudumu
 
Reactions: wax
Wale wa 825KJ Mtabila moja hiyo danger coy ya morali tukiwa na afande mzilai a.k.a the sniper , chenja yangu ya mda wote ni " washkaj mbn mnalemba, atulembi cc tunangoja ageuke ; unashangaa busha ndani ya modo mambo kidigitali..........! Dah hataree sana iyo
 
haaahaaa nimekumbuka zabibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…