Chenja za JKT zilituhamasisha sana tusitoroke,tukumbushane chenja!

Tukumbushane kipindi hicho cha JKT,

"Usiwe kama police pushapu kwenye godoro,uwe kala lisoja pushapu kwenye kokoto"

Moja ya mstari ulionivutia sana enziii hizo nipo 835KJ..
Ahaaaa mambo ya Kabuku,835KJ kipindi nchi ina heshima na adabu,kambi hii imenifunza mengi sana chini ya CO Mtono,na detach yetu ya pale Maramba chini ya Massawe,na C NDIO ILIKUWA KOMBANIA YANGU,namkumbuka afande Omary(comrade),afande Shija,hawa walinifanya niingie viwanja vya dunia bila woga wowote,mafunzo yao MM yananifanya hadi leo niwe na ujasiri wa kutake risk,duu maisha yale ya mihogo,kituko cha mke wa CO na kuruta Fulani mmmmmmmmm.
 
🎶🎶siwezi kusimamisha mnazi ee×2
Nitafumwa na afande mayasa🎶🎶🎶
😃😃 sitaki kukumbuka yale maisha ya jkt Oljoro,Arusha mwaka 2015.
Miezi 3 kama miaka 3
 
 
Polisi hamna jipya small square majungu master parade ndo ucseme, mkikutana uwanja wa damu ni unanga co unaa.. na kutishana msalimie Meja Mtigandi Coplo kashinje na cpl Machumu na Ssgt Omari HQ Coy..!
[emoji23][emoji23] umenikumbusha mbali sana kunitajia hao viumbe.

5/5
 
835 kj mgambo operation kikwete bravo coy chenja ysngu kubwa ilikuwa ni neilaaa weee neilaaaa weeee kitambala changuuuuu
Hapo upo na pvt Ibrah, huku Bruno akimfukuzia Hadia wa ngoma Coy, pvt Nchimbi na Kamwela haha.
Ukija D coy pvt Magele, Atari bila kumsahau copl Mayai.
Pvt. Modesta akitupa chenza bila kumsahau Mbugi wee
"Mama jeniii maama" haha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3] Kwa Akina Lymo, Almasi, Nyowade.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binti athuman wa congoooo!...eheeee...kapipa ugali wa mwogooooo....eeheee!!!, Mwambieee!!, Mshikeee mkonoo eeheee mshikeee mkonoo eheeee!! Lamba×2, lamba lamba lambaaaa.... Hii chenja kitambo kimbiji moja hata kikosi namba nimesahau coy B watukutu, nakumbuka kijijini kwa chale na kidagaa Kuna siku mbio za jion nikazama kijijini kununua dawa za mafua Mara I.O na rsm Hawa hapa wakaniambia Leta hicho kifuko..nilipigwa maswali nilichokipata Siri yangu doso la hatari mpaka nikakosa kijogoo Cha asubuhi na warm up...acheni jeshi liitwe jeshi ila nilipata knowledge na skills maafande
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…