Cherehani zinauzwa kwa bei nafuu

Cherehani zinauzwa kwa bei nafuu

Dynamics

Senior Member
Joined
Feb 2, 2024
Posts
159
Reaction score
194
Habari wakuu

Mashine hizi za kisasa za kushona kwa kutumia umeme zinauzwa .

Unaweza kushona mishono zaidi ya ishirini kwa wakati mmoja kwa kadri utakavyopenda wewe.

Bei yake ni Shilingi 200,000/- kwa kila moja.

Mashine zipo Dar Es Salaam ila unaweza kutumiwa popote.

Karibuni
 
SINGER
IMG-20241119-WA0078.jpg
 
Habari wakuu

Mashine hizi za kisasa za kushona kwa kutumia umeme zinauzwa .

Unaweza kushona mishono zaidi ya ishirini kwa wakati mmoja kwa kadri utakavyopenda wewe.

Bei yake ni Shilingi 200,000/- kwa kila moja.

Mashine zipo Dar Es Salaam ila unaweza kutumiwa popote.

Karibuni
Unauza na Meza yake
 
Back
Top Bottom