Habari zenu wana jamii forum
Napenda kuwajulisha kuwa nategemea kufunga harusi mwezi ujao,hivyo mimi nikiwa member wa forum nimeona sio vizuri kuwa kimya bila kuwajulisha wana-jamii.
Naomba pia mnisamehe kwa kuchelewa kuwahabarisha ni majukumu ya hapa na pale.
Mungu awabariki,nawakaribisha sana.
karibu kwenye game mrembo, nakutakia kila la kheri, mchele wapi sasa mami na mie nije nipige vigelegele.....
Habari zenu wana jamii forum
Napenda kuwajulisha kuwa nategemea kufunga harusi mwezi ujao,hivyo mimi nikiwa member wa forum nimeona sio vizuri kuwa kimya bila kuwajulisha wana-jamii.
Naomba pia mnisamehe kwa kuchelewa kuwahabarisha ni majukumu ya hapa na pale.
Mungu awabariki,nawakaribisha sana.
Hivi ni kufunga harusi au kufunga ndoa?
anyway. wewe Msindima ni He au she?
Hongera sana ndugu yangu, kila la kheri karibu katika ulimwengu wa Ndoa.
Wow..hongera sana Msindima kwa hatua hii...tupo pamoja sana
hebu tuambia harusi itakuwa wapi exactly ili kama tunaweza kukusindikiza tuje,
Wow..hongera sana Msindima kwa hatua hii...tupo pamoja sana
hebu tuambia harusi itakuwa wapi exactly ili kama tunaweza kukusindikiza tuje,