Unafahamu hawa wanaume woote wanaotamba kwenye dunia ya maonyesho ya nguo, wengi wao ni mashoga. Sasa zamani wengi wao walikuwa wakijificha kujitangaza kuwa ni mashoga. Sasa kwa sababu dunia ya ununuzi nguo imetawaliwa na WANAWAKE, hawa jamaa wakawa hawana jinsi ila kuvumilia. Ilipofika kipindi wakaanza kutawala huko, basi yale maumbo ya WANAWAKE wa kweli yakawa yanawatibua sana hawa mashoga. Ndipo ikaanza kampeni ya chinichini ya kuwatengeneza WANAWAKE waonekane kama wanaume. Dawa ni moja tu, nayo ni kumkondesha huyu binti hadi akome ubishi wake. Unakuta Mwanamke mreefu halafu mwembamba utafikiri mwanaume wa Kitusi/Kisomali. Kakipita na gauni inakuwa kama vile gauni imetundikwa na suruali anakuwa kama vile KAINGIA na akajifunga na si KAVAA.
Siyo ngoja tubaki na mimama iliyoshiba. Ukimuona Salma Kikwete kifua chake, unakubali kuwa YES. Ukimuona Mama Obama, Jennifer Lopez, Shakira (haka wakati mwingine nako kanakondeana na walikanyonya mafuta), Serena Williams, Beyonce wa kutoka Texas, Cheusimangala nk hapo unakubali kuwa umeona mwanamke wa kwelikweli. Wee mwanamke na mwanaume kitandani, kama ni giza unaweza kukosea maana Mwanaume anakuwa na makalio makubwa kuzidi Mwanamke, maajabu haya.