Cheryl Cole holds on to her crown as Sexiest Woman In The World for second year....

Cheryl Cole holds on to her crown as Sexiest Woman In The World for second year....

FirstLady1

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
16,789
Reaction score
5,401
Jamani ni vigezo gani vimetumika hapa.... nipeni Dataz.................
1.
article-1269631-06D80D3E000005DC-996_468x691.jpg

cheryl_tweedy_gallery_6.jpg

washindani wengine hapa chini:-

article-1269631-07D59EE2000005DC-146_468x618.jpg

article-1269631-095963C5000005DC-838_224x557.jpg

article-1269631-0959641A000005DC-910_224x557.jpg

article-1269631-0959642A000005DC-69_468x310.jpg

na wengine na wengine.....
 
The top 10 from this year's list is...

1: Cheryl Cole
2: Megan Fox
3: Marissa Miller
4: Frankie Sandford
5: Keeley Hazell
6: Kristen Stewart
7: Kelly Brook

8: Adriana Lima
9: Jessica Alba
10: Abbey Clancy
 
Mbona Kim Kardashian hayumo? Wanaopanga hii list ni Mashoga wa kikweli maana wanachagua wanawake wanaoonekana kwa mbali kama Wanaume. Kutoka juu hadi chini KANYOOKA. Hamna umbo nane hata sehemu moja, WTF?!!
 
Hata ukipewa vigezo unaweza usivikubali, si unajua anayeonekana sexy kwa A anaweza asionekane hivyo kwa B? Wewe mkubali tu Cheryl Cole kama the sexiest womanin in the World hatakama kuna mwanamke unayemjua na unadhani angemshinda Cheryl!
 
Mbona Kim Kardashian hayumo? Wanaopanga hii list ni Mashoga wa kikweli maana wanachagua wanawake wanaoonekana kwa mbali kama Wanaume. Kutoka juu hadi chini KANYOOKA. Hamna umbo nane hata sehemu moja, WTF?!!
sikonge umenichekesha sana ndo maana nikauliza ni vigezo gani vinatumika
mie nikiwaangalia hao kina dada napata kizunguzungu
 
Hata ukipewa vigezo unaweza usivikubali, si unajua anayeonekana sexy kwa A anaweza asionekane hivyo kwa B? Wewe mkubali tu Cheryl Cole kama the sexiest womanin in the World hatakama kuna mwanamke unayemjua na unadhani angemshinda Cheryl!

Ni kweli consiglior lakini itabidi nipekue vigezo ...
 
Unafahamu hawa wanaume woote wanaotamba kwenye dunia ya maonyesho ya nguo, wengi wao ni mashoga. Sasa zamani wengi wao walikuwa wakijificha kujitangaza kuwa ni mashoga. Sasa kwa sababu dunia ya ununuzi nguo imetawaliwa na WANAWAKE, hawa jamaa wakawa hawana jinsi ila kuvumilia. Ilipofika kipindi wakaanza kutawala huko, basi yale maumbo ya WANAWAKE wa kweli yakawa yanawatibua sana hawa mashoga. Ndipo ikaanza kampeni ya chinichini ya kuwatengeneza WANAWAKE waonekane kama wanaume. Dawa ni moja tu, nayo ni kumkondesha huyu binti hadi akome ubishi wake. Unakuta Mwanamke mreefu halafu mwembamba utafikiri mwanaume wa Kitusi/Kisomali. Kakipita na gauni inakuwa kama vile gauni imetundikwa na suruali anakuwa kama vile KAINGIA na akajifunga na si KAVAA.

Siyo ngoja tubaki na mimama iliyoshiba. Ukimuona Salma Kikwete kifua chake, unakubali kuwa YES. Ukimuona Mama Obama, Jennifer Lopez, Shakira (haka wakati mwingine nako kanakondeana na walikanyonya mafuta), Serena Williams, Beyonce wa kutoka Texas, Cheusimangala nk hapo unakubali kuwa umeona mwanamke wa kwelikweli. Wee mwanamke na mwanaume kitandani, kama ni giza unaweza kukosea maana Mwanaume anakuwa na makalio makubwa kuzidi Mwanamke, maajabu haya.
 
Hhahahah sikongeee hahaha! Para ya mwisho mistari miwili hapo chini inafurahisha
 
Unafahamu hawa wanaume woote wanaotamba kwenye dunia ya maonyesho ya nguo, wengi wao ni mashoga. Sasa zamani wengi wao walikuwa wakijificha kujitangaza kuwa ni mashoga. Sasa kwa sababu dunia ya ununuzi nguo imetawaliwa na WANAWAKE, hawa jamaa wakawa hawana jinsi ila kuvumilia. Ilipofika kipindi wakaanza kutawala huko, basi yale maumbo ya WANAWAKE wa kweli yakawa yanawatibua sana hawa mashoga. Ndipo ikaanza kampeni ya chinichini ya kuwatengeneza WANAWAKE waonekane kama wanaume. Dawa ni moja tu, nayo ni kumkondesha huyu binti hadi akome ubishi wake. Unakuta Mwanamke mreefu halafu mwembamba utafikiri mwanaume wa Kitusi/Kisomali. Kakipita na gauni inakuwa kama vile gauni imetundikwa na suruali anakuwa kama vile KAINGIA na akajifunga na si KAVAA.

Siyo ngoja tubaki na mimama iliyoshiba. Ukimuona Salma Kikwete kifua chake, unakubali kuwa YES. Ukimuona Mama Obama, Jennifer Lopez, Shakira (haka wakati mwingine nako kanakondeana na walikanyonya mafuta), Serena Williams, Beyonce wa kutoka Texas, Cheusimangala nk hapo unakubali kuwa umeona mwanamke wa kwelikweli. Wee mwanamke na mwanaume kitandani, kama ni giza unaweza kukosea maana Mwanaume anakuwa na makalio makubwa kuzidi Mwanamke, maajabu haya.

sikonge katika siku nilizocheka ni leo
Uko serious au unatania ....
 
Ndo maana naendelea kushikilia,Girl Friend wangu akiwekwa hapo atawatoa wote....
 
sikonge katika siku nilizocheka ni leo
Uko serious au unatania ....

FL1,

Nitanie kivipi? Kwani huwaelewi watengeneza nguo maarufu?

1. Jean Paul Gaultier ni shoga.
2. Marehemu Yves Saint Lauren alikuwa shoga......

Hebu angalia hata hili tangazo hapa chini, na mengine kibao yako youtube. Unataka zaidi?


Huu ulimwengu wa waonyesha mavazi ni ulimwengu wao. Huko ndani ushoga, madawa ya kulevya, na kila aina ya upuuzi, basi umejaa tele. Ila jambo moja inabidi kukubali kuwa hawa jamaa pamoja na mapungufu yao, wameibadili sana dunia. Wazungu wengi kutokana na ile tabia yao ya kujiona Matawi, hawa jamaa siku zote walikuwa wakifanya tofauti na wao ili KUSHOCK. Hapo ndipo yakaanza mambo yoote haya hadi mwisho wakaanza hadi kutumia weusi, kuowa weusi, kutumia watu walio kidogo freak nk nk. Wee hebu fikiri ukumbi mzima umejaa Wazungu na ghafla anaingia huyu dada..... kheeee !!!!!!!
alek-wek.jpg
 
Last edited by a moderator:
Unafahamu hawa wanaume woote wanaotamba kwenye dunia ya maonyesho ya nguo, wengi wao ni mashoga. Sasa zamani wengi wao walikuwa wakijificha kujitangaza kuwa ni mashoga. Sasa kwa sababu dunia ya ununuzi nguo imetawaliwa na WANAWAKE, hawa jamaa wakawa hawana jinsi ila kuvumilia. Ilipofika kipindi wakaanza kutawala huko, basi yale maumbo ya WANAWAKE wa kweli yakawa yanawatibua sana hawa mashoga. Ndipo ikaanza kampeni ya chinichini ya kuwatengeneza WANAWAKE waonekane kama wanaume. Dawa ni moja tu, nayo ni kumkondesha huyu binti hadi akome ubishi wake. Unakuta Mwanamke mreefu halafu mwembamba utafikiri mwanaume wa Kitusi/Kisomali. Kakipita na gauni inakuwa kama vile gauni imetundikwa na suruali anakuwa kama vile KAINGIA na akajifunga na si KAVAA.

Siyo ngoja tubaki na mimama iliyoshiba. Ukimuona Salma Kikwete kifua chake, unakubali kuwa YES. Ukimuona Mama Obama, Jennifer Lopez, Shakira (haka wakati mwingine nako kanakondeana na walikanyonya mafuta), Serena Williams, Beyonce wa kutoka Texas, Cheusimangala nk hapo unakubali kuwa umeona mwanamke wa kwelikweli. Wee mwanamke na mwanaume kitandani, kama ni giza unaweza kukosea maana Mwanaume anakuwa na makalio makubwa kuzidi Mwanamke, maajabu haya.
Ah, Sikonge Bwana-you made my day today. Pamoja na professional yako uliyonayo, lakini vile vile unaweza kuwa comedian mzuri sana wewe-haaaaa!.
 
<SCRIPT type=text/javascript><!--google_ad_host = "pub-6958755572607374";google_ad_client = "ca-pub-9653839485768321"; google_alternate_ad_url = "http://hubpages.com/google_adsense_script.html";google_ad_width = 468;google_ad_height = 60;google_ad_format = "468x60_as";google_ad_type = "text_image";google_ad_channel = "6259348895";google_color_border = "FFFFFF";google_color_bg = "FFFFFF";google_color_link = "0000CC";google_color_url = "333333";google_color_text = "333333";google_ui_features = "rc:0";//--></SCRIPT><SCRIPT type=text/javascript src="http://pagead2.googlesyndication.com/pagead/show_ads.js"></SCRIPT><SCRIPT src="http://pagead2.googlesyndication.com/pagead/expansion_embed.js"></SCRIPT><SCRIPT src="http://googleads.g.doubleclick.net/pagead/test_domain.js"></SCRIPT><SCRIPT src="http://pagead2.googlesyndication.com/pagead/render_ads.js"></SCRIPT><SCRIPT>google_protectAndRun("render_ads.js::google_render_ad", google_handleError, google_render_ad);</SCRIPT>


Serena Williams in Bikini

698281_f520.jpg


698279_f520.jpg


698287_f520.jpg


698288_f520.jpg


Bwana Sikonge kwa hiyo wewe ni mpenzi wa wenye minofu yenye nguvu kama hii sio!.
 
Bwana Sikonge kwa hiyo wewe ni mpenzi wa wenye minofu yenye nguvu kama hii sio!.
Yegomasika hapo umenifurahisha, maana umemfuatiliiiaaaa Sikonge katika arguments zake kisha ukagundua kuwa Sikonge ni mtu wa minofu ya nguvunguvu, very Fantastic. Dah! JF ina raha sana
nimeipenda sana hiyo.
 
Mkuu Yegomasika,

Hiyo ndiyo yenyewe sasa. Ila nikiri kuwa akina mama namna hiyo huwa nafurahi kuwaangalia wakiwa wamevaa nguo au vinguo vichache. Wakibaki wazi, tetetee huwa naanza kuona heri wapungue kidogo.

Kusema ukweli, napenda kwanza mwanamke mwenye pua kubwa kama ya Leona Lewis, Sarah O'connor nk. Hapo nakuna nywele za kujisokota mama weee, na kumalizia na Kipengule. Dada zangu woote wana mzinga wa pua na kusokota nywele. Sijui ilini-affect? Mengine sisemi.

Ila tabia ya MWANAMKE jamani ni muhimu zaidi. Nimeona jamaa walioowa wanawake Wazuri sana wakilia kama watoto wadogo.

Kwa sasa Mkuu, mie ni ARTIST haswaa. Kule kwa samani nilikimbia na Zege halilali nina siku nyingi saaana sijaliona. Mie na Kikwete ngoma droo ila sema mwenzangu ana hela kama nini sijui. Swali gumu kwake litakuwa "Mkwere, how much do you wealthy??"
 
Mkuu Yegomasika,

Hiyo ndiyo yenyewe sasa. Ila nikiri kuwa akina mama namna hiyo huwa nafurahi kuwaangalia wakiwa wamevaa nguo au vinguo vichache. Wakibaki wazi, tetetee huwa naanza kuona heri wapungue kidogo.

Kusema ukweli, napenda kwanza mwanamke mwenye pua kubwa kama ya Leona Lewis, Sarah O'connor nk. Hapo nakuna nywele za kujisokota mama weee, na kumalizia na Kipengule. Dada zangu woote wana mzinga wa pua na kusokota nywele. Sijui ilini-affect? Mengine sisemi.

Ila tabia ya MWANAMKE jamani ni muhimu zaidi. Nimeona jamaa walioowa wanawake Wazuri sana wakilia kama watoto wadogo.

Kwa sasa Mkuu, mie ni ARTIST haswaa. Kule kwa samani nilikimbia na Zege halilali nina siku nyingi saaana sijaliona. Mie na Kikwete ngoma droo ila sema mwenzangu ana hela kama nini sijui. Swali gumu kwake litakuwa "Mkwere, how much do you wealthy??"

watu mna visa na mikasa hapa dunia
 
Back
Top Bottom