Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 741
Huyo aliyekuuliza kwanza angewasilina na chuo alichosoma. Kwa UDSM original transcript huwa haitolewi, unapewa certified copies of the original. Kwa degree certificate/ leaving certificate unatakiwa pia kutoa copies na ku-certify. Sasa mambo hayo yakitokea sijui inakuwaje? Mwambie aende huko alikomaliza watampa majibu sahihi. Hiki cheti ni chake kweli, kwa nini asiende huko alikomaliza? Nionavyo mimi sio mwisho wa degree - kwani degree yake ipo kichwani kwake!
elimu ya bongo c mchezo
mbona umesema ivyo mkuu??
maswali mengine bhana.