Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,240
NDOA bana ajabu kweli.
Ndoa ni kama shule,mara nyingi kabla ya kuingia kwenye ndoa sio rahisi
kumfahamu mwenzako kwa kila kitu,hasa tabia zake zote.
Kwa kua ndoa ni kama shule,tunategemea kila siku inavo ongezeka unazidi
kumuelewa mwenzako zaidi na zaidi,lakini shule hii ni ya ajabu sana.
Tofauti na shule zingine ambazo unapata CHETI baada ya ku-graduate,..
shule hii ndiyo pekee ambayo mtu anapewa CHETI wakati ndio kwanza anaanza shule yenyewe.
Ni nini maana haswa ya cheti cha ndoa?
Umefuzu nini hadi upewe cheti cha ndoa?
Je,ukivunja ndoa,ukafunga nyingine,ukavunja tena na tena na tena na tena
na hatimaye ukawa na vyeti 10,..........Unastahili kutunukiwa cheti kingine kama masters hivi au?
Ndoa ni kama shule,mara nyingi kabla ya kuingia kwenye ndoa sio rahisi
kumfahamu mwenzako kwa kila kitu,hasa tabia zake zote.
Kwa kua ndoa ni kama shule,tunategemea kila siku inavo ongezeka unazidi
kumuelewa mwenzako zaidi na zaidi,lakini shule hii ni ya ajabu sana.
Tofauti na shule zingine ambazo unapata CHETI baada ya ku-graduate,..
shule hii ndiyo pekee ambayo mtu anapewa CHETI wakati ndio kwanza anaanza shule yenyewe.
Ni nini maana haswa ya cheti cha ndoa?
Umefuzu nini hadi upewe cheti cha ndoa?
Je,ukivunja ndoa,ukafunga nyingine,ukavunja tena na tena na tena na tena
na hatimaye ukawa na vyeti 10,..........Unastahili kutunukiwa cheti kingine kama masters hivi au?