wadau nliuliza umuhmu wa cheti cha std 7 ila wengi WAMENSHAMBULIA KWA MATUSI NA KUSEMA ETI KINASAIDIA KUTAMBUA UTAIFA WAKO NA KUA KWELI UMEZALIWA TZ......wengi japo sio wote wamejibu hvyo yani huu ndio uelewa wa GRADUATE wengi,mm nasema wamesoma ila hawajaelimika kama lengo ilikua ni kutaka kujua nationality wangeomba BIRTH CERTIFICATE TU.... Pia wasomi wengi wanakurupuka kujibu vitu bila kuelewa hivi mtu unapoulizia UMUHIMU WA KITU ndio umekipinga?....
Sijajua umeandika nini..?
hakika wewe ni product ya mulugo
uwezo wako mdogo wa kufikiri ndio umefanya usielewe hoja iliyowasilishwa
Kama wewe umeweza kuelewa hiyo heading na kilichomo ndani basi ndio maana mnapata div.5 kwa kukurupuka mkidhani mmeelewa kumbe kitu HAKIELEWEKI.