Cheza na vyoote ila usicheze na Uchumi

Cheza na vyoote ila usicheze na Uchumi

MPadmire

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
3,957
Reaction score
3,245
Unaweza kucheza na Tume ya uchaguzi, chezea matokeo na kila kitu...Hapa CHezea Economy

Economy ni mambo ingine

Ngoma inogile na Time will tell....

Hakuna propaganda kwenye uchumi
 
Huyu mtu uwezo wake ni kuchota hela hazina,kununua ndege,kusaini mikataba na kuzindua miradi. Zaidi ya hapo ni mweupe pee.

In short,anajua kuzitumia lakini hajui namna ya kuzizalisha wala kutengeneza mazingira yatakayosaidi zizalishwe..
 
Huyu mtu uwezo wake ni kuchota hela hazina,kununua ndege,kusaini mikataba na kuzindua miradi. Zaidi ya hapo ni mweupe pee.

In short,anajua kuzitumia lakini hajui namna ya kuzizalisha wala kutengeneza mazingira yatakayosaidi zizalishwe..
Mkuu, mzalishaji ni mimi na wewe. Kama unao uwezo wa kuwavuta wawekezaji wakaja na kuwekeza kwenye sekta fulani, basi baraka zitakuwa juu ya ukoo wako.
Sidhani kama hizi akili za kusubiri mtu ashindwe ili cha kuongea kipatikane, kama wanazo hao wanaotufadhili.
 
Mbaya zaidi, TRA wao wanataka kukusanya kwa nguvu saana 😵 Matokeo yake wanaua mpaka mitaji..Watu wanafunga biashara.

Kukamua ng'ombe bila kumpa majani...

Badala ya kuongeza tax base, wanamuongezea mlipa kodi mzigo..Hivyo biashara zinakufa

Uwezo wa kubuni vyanzo vipya mapato TRA hawana...

TRA Hayo manguvu na Vitisho vinaogopesha hata mtu kuwaza biashara

Hivi Gesi ya Mtwara imeenda wapi?

Gold na machimbo yote mikataba ilisainiwa watu wakiwa wamelewa pombe? au ni ulevi wa 10%
 
We produce which we don't consume and we consume which we don't produce. Substantheight?

Ndio, Mh. Bashe kaongea vizuri sana, Turudi kwenye Kilimo na Utalii

Tuzalishe mafuta, vyakula na tuuze ziada nje...

Tuwekeze kwenye kutangaza utalii- tupokee FOREX nyingi
 
Exchange rate leo imekuwa ngapi?

Duh, Hata shs ya Kenya imeongezeka dhidi ya Tshs
 
Back
Top Bottom