Chezea wema sepetu....binti ndani ya mjengo

Status
Not open for further replies.
Tv=diamond,mapazia=mwinyi,sabufa=chazbaba,kitandana godoro=marehem, kabati na vyombo yake=pedeshe,kapet=chada.
Endelea na ww kwa unaowafaham

But in the end si ni ya kwake? Kwa raha zake...
Amejitahidi.. its a beautiful and amazing crib kwa kweli!
 
 
ukweli utabaki pale pale kwamba wema amepiga hatua, hata kama amehongwa wangapi wanahongwa lakin hawajafikia kuhongwa nyumba?wanaishia chipsi mayai na kuku...... mama unastahili sifa! hata kama senator anasema kila mtu alihonga chake haijalishi umetumia njia gani mwisho wa siku tunaangalia umewin au lah
 
Last edited by a moderator:
Mmeanza mara kanunuliwa gari na familia kumbe kahongwa yamekuja ya nyumba. kwani mahela angeyafanyia nini.
 
kawa kama jini duuuh....kweli kuuza k** kunalipa...
 
nasubiria kwa hamu huyo mwinyi waachane nami niingize maguu uzuri wenyeww tunafahamiana tayari.
 
yaani makolokolo hata kwa Mganga kuna afadhali...
Na hilo lijoho alilolivaa na hiyo minywele alobandika yaani kama Tabitha bibi yake Timmy wa the Passion.
 

hivi wewee ufalme unaujuwa?
nyie ndio wale mnaomlazimisha Kuku anywe maji ya moto ili aje kutaga Yai la kuchemsha....

Toa ushuzi wako hapa
 
Jibaba limemnunulia. Ama kweli K**a ni mtaji mzuri.
 
me love wema bana !
kila la kherii mwaya! celeb wetuuu!
 
Sijui kwanini huwa nakuhisi wewe ni Zamaradi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…