Chezea wema sepetu....binti ndani ya mjengo

Status
Not open for further replies.

the real italian gang..
 
Manyema ha ha ha ha nimechekaaaaaaaaaaaaaaahhh.. ila Mrembo by Nature ni Zamaradi nae aje atueleze kisa cha kuzaa na rizi1..ila Gang Chomb ni mwanaume..dahh umemzodoa Zama

Mtoa mada kakurupuka hata hajatawaza kaja na kinyesi chake hapa halafu anataka kukiita mbolea...
Mbolea mpaka kikauke Mama.
Huo wako ni uharo
 
Mtoa mada kakurupuka hata hajatawaza kaja na kinyesi chake hapa halafu anataka kukiita mbolea...
Mbolea mpaka kikauke Mama.
Huo wako ni uharo
Mbaya zaidi anajamba maputo tu, anadhani stori za kuongea na mashosti wenzake salon ni za kuleta JF. Kala boga macaco.
 
Mbaya zaidi anajamba maputo tu, anadhani stori za kuongea na mashosti wenzake salon ni za kuleta JF. Kala boga macaco.

nimefuatilia posti zako Matola na kisha kuna point moja umeisema hata mi imenibidi niiangalie kwa jicho la 3 lile la juu ya pyramid.

Umeeleza wazi kuwa hawa watu huwezi juwa ni muda gani wako kwenye maigizo au ni muda gani wanakuwa kwenye maisha yao halisi...
 
Mbaya zaidi anajamba maputo tu, anadhani stori za kuongea na mashosti wenzake salon ni za kuleta JF. Kala boga macaco.
Matola Kwani hili jukwaa ni la nini?ukitaka habari zisizohusu maceleb uende jukwaa la MMU kwani hata la siasa utakutana nao tu.... muone vile kichwa kama nazi
 
Last edited by a moderator:
hii ingependeza sanaaa kule facebook au kutangazwa clouds fm na kita ngoma wapuuzi hawa wanaoshinda fb kila siku inbox kuomba pesa.
 

Mrembo by Nature unaomba asikusahau kwenye ufalme wake....si unajua ana falme nyingi...mojawapo TABIA MBAYA!
 
Mrembo by Nature unaomba asikusahau kwenye ufalme wake....si unajua ana falme nyingi...mojawapo TABIA MBAYA!

Ana mpango wa kufungua kampuni moja kubwa sana, asinisahau kwenye ajira na mengineyo mazuri, ila kuhusu tabia mbaya mie sina ushahidi coz watu waweza mpakazia mtoto wa watu ....
 
yap wena big up sana
dunia ni uwanja wa vurugu
endelea kuwakimbiza, next year nataka sikia unagorofa
 
Tv=diamond,mapazia=mwinyi,sabufa=chazbaba,kitandana godoro=marehem, kabati na vyombo yake=pedeshe,kapet=chada.Endelea na ww kwa unaowafaham
dah, kumbe kuna na mali za marehemu kan..mba hapo...hahahaha, no wonder alilia sana siku ile ya msiba hadi alizirai.
 
Hii sredi Gang Chomba na Matola wasipofanikiwa kumnyamazisha Mrembo by Nature basi ntaamini huyu binti atafaa sana kuwa kampeni meneja wa Mama Ane Kilango.


Unajuwa kuna binadamu wanaishi kwa kujikombakomba kwa binadamu wenzao.
Mtu mwenye utimamu kichwani hawezi kukaa na kusubiri ufalme wa binadamu mwenzie.

Huku tunakoelekea itafika kipindi watu watataka wanunuliwe pedi na Wema sepetu...

Tuliwaona watu kama hawa wakija na kuondoka kama harufu ya ushuzi
 
Last edited by a moderator:
HIVI HAWA WANAWAKE WA KITANZANIA KUJICHUBUA NGOZI NDO WANAONA UZURI. Kama NDO HIVO WANAJIDANGANYA.
 
I LIKE MY WOMEN NATURALLY AFRICAN bEAUTY.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…