Chi chi m wanaogopa kubadilika kwa katiba

Chi chi m wanaogopa kubadilika kwa katiba

Don Alaba

Senior Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
167
Reaction score
18
Ukiona hivyo watu wanaishi kwa maslahi tu, unapotaka kuleta utaratibu mpya inakuwa shida kidogo, tanzania imekuwa kama mbio za kijiti watu wanapeana tu, na imefanywa kama keki ya birthday inaliwa na waalikwa wachache.
CHI CHI M OGOPENI WATAKA MABADILIKO. :disapointed:
 
jembe na nyundo .... kweli jamani
 
Back
Top Bottom