Chibu kapanda mbegu kwa mshamba na limbukeni

Hkn anaemchukia na utamchukiaje mtu bila sababu inamaana kutaka kuambiwa busara zake ndo kumchukia wengine hatuzijui hz busara zake

Sent from my CHC-U01 using JamiiForums mobile app
Watu wa humu wanaonyesha wana chuki kwa hamisa live kabisa
Hawalali,hawanyi kutwa kumponda wanaumia kama wanampa wao pesa ya kula vile
 
Ww ndo zar nn?

Maana siyo kwa povu hilo.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kumbeee tatizo laki mbili[emoji1] [emoji1] [emoji1]ulikua unazitaka wewe nini?!
Eti mtoto wa kubambikiwa!Pole sana

Mwanaume mwenye gubu kama weweee utaishia hvyo hvyoooo[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ndo maana hutakiwi
 
Ht kama amelalamika ila hamisa hashindwi kumlea yule mtt mwenyewe Lin atamleaje mwenyewe wkt babake yupo na anauwezo kaz kulea wtt wasomuhusu

Sent from my CHC-U01 using JamiiForums mobile app
 
Umeona wangu hadi nimemchukia she is so selfish ,halafu hana kazi wala biashara anayofanya na shule alikimbia kule madenge Tandika
Inabidi aamini tu kuwa kazaa na diamond na atulie kwakua hata sio ajabu make alishazaa na mwanaume mwingine, na ataendelea kuzaa na wanaume wengine atulie.
 
hawa wa nitarejea akutana na wachungaji wapiga dili kwa kutumia jina la Mungu, wamuabisha na kumdhalilisha
 
Mwanahabari wa kujitegemea........!
 
We kweli mjinga ,si wa kubishana nawe
[emoji1] [emoji1] [emoji1] . Mnamjaza tu ujinga mwenzenu. Kuzaa na diamond Kama, kazaa na malaika. Anashindwa kula na kipofu. Zari na uzee wote ule anamuendesha puta hamisa.
Hamisa kazidiwa kete. Jipangeni upya
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] . Mnamjaza tu ujinga mwenzenu. Kuzaa na diamond Kama, kazaa na malaika. Anashindwa kula na kipofu. Zari na uzee wote ule anamuendesha puta hamisa.
Hamisa kazidiwa kete. Jipangeni upya
[emoji1] [emoji1] [emoji1] yaani wewe humjui mswahili anayeenda puta kwa sasa ni Dada yetu Zari maana umri wake ni zaidi ya mara 2 ya Hamisa lakini bado anapapalika na mtoto wa Tandika
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] . Mnamjaza tu ujinga mwenzenu. Kuzaa na diamond Kama, kazaa na malaika. Anashindwa kula na kipofu. Zari na uzee wote ule anamuendesha puta hamisa.
Hamisa kazidiwa kete. Jipangeni upya
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] poleew!mtu mzima km yule kushindana na vitoto anavyovizaa inahuu?
 
Umeona wangu hadi nimemchukia she is so selfish ,halafu hana kazi wala biashara anayofanya na shule alikimbia kule madenge Tandika
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] unamchukia mtu asiye kujua!chuki zako hazina athari yoyote utajiumiza buree [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] na ma fundo rohoni
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] unamchukia mtu asiye kujua!chuki zako hazina athari yoyote utajiumiza buree [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] na ma fundo rohoni
Sister how do u know?punguza basi uswazi unani quote several times comment moja
 
Sababu ya Chibu kuachana Na Wema ni huyo huyo Zari. Baada ya kumkuta bibie Zari ana pesa za kutosha. Ndipo wakamwangana na Wema. Ni wakati wa BBA SA Na Idriss kushika atamu. Zari kutambulishwa kwa mbwembwe. W/Patty. Mara tukaona Magari ya kifahari madale. Video nyingi sana SA. ........... nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…