Chicken grill machine

kajansi

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2012
Posts
485
Reaction score
222
Hello! wanajamvi kwa wale mlipo Dar. kama kuna mtu anajua bei ya mashine ya kuoka kuku(Grill) yenye uwezo wakugrill minimum 20 pc za kuku na inayotumia umeme na gas PLZ naomba anijulishe bei, nitashukuru kama ntapata bei za mpya na used!

Mbarikiwe as always.
 
Hizo machine hapo Dar sijui kama utapata kweli. Najua zinapatikana kwa urahisi pale Nairobi. Ngoja tuone kama kuna atakaye jitokeza kusema zinapatikana wapi hapo Dar.

Tiba
 
Hizo machine hapo Dar sijui kama utapata kweli. Najua zinapatikana kwa urahisi pale Nairobi. Ngoja tuone kama kuna atakaye jitokeza kusema zinapatikana wapi hapo Dar.

Tiba

Mkuu Tiba asante je una idea min. na max. price kwa huko Nairobi?
 
Mkuu Tiba asante je una idea min. na max. price kwa huko Nairobi?

Yes Nairobi unaweza kupata ya kuku 10 ni Kshs. 50,000. Hii ndio niliulizia bei yake sasa hiyo ya kuku 20 inawezekana ikawa kwenye Kshs. 70,000.00 hivi.

Tiba
 
Yes Nairobi unaweza kupata ya kuku 10 ni Kshs. 50,000. Hii ndio niliulizia bei yake sasa hiyo ya kuku 20 inawezekana ikawa kwenye Kshs. 70,000.00 hivi.

Tiba

Asante sana mkuu ngoja niwatembelee wanairobi! Ubarikiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…