Chicken nugets na sosi ya ukwaju

farkhina

Platinum Member
Joined
Mar 14, 2012
Posts
14,568
Reaction score
16,917
Mahitaji
1)Chicken breast(kata vipande vidogo kiasi)
2)pilipili manga
3)mayai
4)chumvi kiasi
5)unga wa ngano
6)Mafuta ya kupikia


Namna ya kutaarisha
1)Weka chumvi katika chicken breast pamoja na pilipili manga...acha vikolee kwa dakika 15
2)paka unga wa ngano juu ya kila kipande cha kuku
3) changanya mayai kwenye bakuli na uweke kila kipande cha kuku...
4)weka karai mafuta yakipata moto kaanga hadi viwe brown....


Sosi
1)ukwaju
2)pilipili kiasi
3)chumvi
4)kotmiri/giligilani
5)tende toa kokwa/asali

1)roweka ukwaju kwa dakika 5
2)toa makokwa na uchanganye na pilipili, chumvi,kotmiri(giligilani),tende ama asali na maji kiasi saga kwa blenda

Chicken nuggets tayari kwa kuliwa...
 

Attachments

  • 1384887633952.jpg
    20.9 KB · Views: 845
Last edited by a moderator:

Dah aisee, ebu weka na jinsi ya kutengeneza meat pie & kuandaa noodles! Nawish nijue,buying them is so expensive
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana Farkhina, we are what we eat. Alafu kuna watu wanaona kula junk food ndio modern life/kuwa juu. Nawashauri wasione km ni kitu prestige. Kuandaa msosi wako its far worth than going n grab good in drive thru McD

Ila labda siku moja moja kwa mwezi sio mbaya
 

Yeah....vizuri kutarisha mwenyewe coz unazingatia usafi zaidi na usalama wa afya yako
 
Mkuu Junk Foods Zina Madhara kwa binadamu bora ujipikie wewe Mwenyewe kuliko kununuwa junk foods.







utanipikia wewe bibie hiyo Chicken nugets na sosi ya ukwaju

Usijali wewe tena kaka yangu ntakupikia usihofu...
 
Food is food.

And if it was that bad then almost everyone would either be terribly sick or dead by now.

But no, people are still alive and kicking.

Ha ha haaa sawa Nyani mi sibishii afu huwa inavutiajeee ebu chek hii
 
Last edited by a moderator:
Food is food.

And if it was that bad then almost everyone would either be terribly sick or dead by now.

But no, people are still alive and kicking.

Umenikumbusha ile mada ya nguruwe.. Food is food?? Nah never jipe moyo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…