Chid Benz ametoroka sober house

Kwenye hiko kipindi cha tv kama wataonyesha jinsi alivyokuwa anaondoka italeta majibu sahihi
hivi kila anayeondoka bila kuaga huwa anaweza kurekodiwa??

I would expect kwamba anayeondoka kwa kuaga ndio rahisi kurekodi anavyoondoka
 
acha uongo wewe chidi benz katoka sober house matibabu yake yalikuwa ni program ya mwezi mmoja tu
 
Hivi gharama ya matibabu Sober house bei gani??? Nina mdogo wangu anakula viroba 24/7 nataka aende huko kidogo.
 
post ya kipumbavu sana hii

Mkuu hata video huioni??

Grow up you stupid fool... Drugs sio kama show aisee.... afterall Chidi alikamatwa airport akiwa na unga, sielewi kwanini hata anapata huruma zote hizi

Chagua cha kuandika wewe...
mi nadhani wew ndo mpumbavu and msenge mana mpaka leo ujafaham media ambazo ni true source of informatio na ambazo ni mbovu, mana GPL mbna mara nyingi sana wanarekodi sauti za wahusika wa uwongo na kuposti...! au wew umewajuwa leo? anyway wew habari yako umeitoa GPL mi yangu nimeitoa Cloudz xxl kwa kuwaskia kalapina na chid mwenyewe also babu tale kathibitisha leo insta...!
 
LIsten pinlohe... tumeona video, sio sound clip... Babu Tale na Kalapina sio wataalam wa kusaidia drugs addict, wao ni wataalam wa kuwadalalia mateja na kutengeneza pesa using their talanta!!

Tofautisha dalali na mtoa huduma...
 
dah am stupid fool? unajiskia raha mwenyewe kunitusi et! afu unajiona unamadini sana ya kumwaga hapa jf mkuu.
YOu did the same... au ni upande mmoja tu?

Kuhusu kujiona na madini, ni wewe wasema... JF we dare talk openly, so hakuna kujiona. BTW, kuna madini humu??

Acheni kuharibu vijana na kisha kutetea perpetuation ya tatizo sababu za short term gains
 
Hata addiction ya pombe huwa haiponi kwa mwezi mmoja,he might have been absconded.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…