EL MAGNIFICAL
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 938
- 125
Msanii Chid benz, amemuita prof jay mpuuzi baada ya prof.jay kumuongelea chid kwenye kipind cha mkasi kwamba alimuombea ruhusa chid kwa mama yake ili aimbe,pia zaid ya kumtukana alitaka kumpiga mbele za watu,hadi walipoamliwa na wa2
SOURCE;CLOUDS FM
sasa we unavyohsi kwamba prof jay anaweza kumuombea chidy benzy ruhusa au anataka sifa kisa watu wanavyosema yeye ndo kaleta mapinduzi ya huu muziki na ruhusa kwa wazazi anaweza kuwaombea wenzako ruhusa chidy kaanza muziki kwa mapenzi yake na si kwa ajili ya prof jay na kama kuna ukweli kwanini aliomba msamaha mpaka anataka kupiga magoti!?
Kama ni kweli ni vibaya kusema?
prof jay **** tu mbona ye anakula arv si hatuongei...
prof jay **** tu mbona ye anakula arv si hatuongei...
kwa asilimia kubwa inaweza ikawa kweli kuwa Prof. Jay alikuwa anamuombea ruhusa Chidi kama anavyosema kwani ktk hali halisi Prof. Jay ndie aliyemtoa Chidi kama mnafuatilia siku za nyuma kabla Chidi hajatoka alikuwa anaimba kumpa support Jay kama msanii mwenza akiitikia wakati Jay anaimba na alikuwa anazunguka nae kwenye matamasha mpk mikoani akiwa kama background artist wa Jay.sasa we unavyohsi kwamba prof jay anaweza kumuombea chidy benzy ruhusa au anataka sifa kisa watu wanavyosema yeye ndo kaleta mapinduzi ya huu muziki na ruhusa kwa wazazi anaweza kuwaombea wenzako ruhusa chidy kaanza muziki kwa mapenzi yake na si kwa ajili ya prof jay na kama kuna ukweli kwanini aliomba msamaha mpaka anataka kupiga magoti!?
We ndo chizi na Dhaifu wa fikra. Suala la ARVs linakujaje hapa. ARVs ni chakula ya watu wengi hata mimi natumia. Mbona TANZANIA inatumia ARVs au hujui? Kama unabisha nenda kapime kama hutashangaa kuambiwa nawewe uanze dozi mara moja.
huyo chidi toka atoboe pua akili yake haijakaa vizuri!