Bado anavaa kile kikuku puani?
sio puani tu hadi kiunoni ana shanga pia..
Duh..nashindwa ht kuuliza ulijuaje...ingawa nishasikia habari zake na yule mbunifu mhindi mwembamba was Moro
da huyu mchizi alikuwa mgumu sana chana sana mashairi lakini sasa naona anaelekea kubaya.....ukiweka kitu cha arusha ukakazia na kitu cha kutoka kule colombia kwa pablo escoba alafu ukaingezea na element za ushoga ushoga ni noma
keshakuwa chronic mwanangu!pozi zote zimeisha siku hizi mabatani anaenda kama comedian yaani full kuzingua
Inamaana jamaa atakuwa WANAMPAKUA!?
mi nilidhani kifo cha swahiba ake ngwair kingemfanya aache ngada. Tid kaisha sana aisee
Aelekee mara ngapi,,wana waiga akina pablo lakini wenzao walikua wana stick kwenye rule yao ya DON'T gET higH on UR owN sUpPLY
,,,