Ilikua siku ya jumapili ya pasaka majira ya usiku,katika maeneo ya ilala corter,ktk baa ya Ngudu opposite na corter za national housing ilala,
Ndipo kulitokea kutoelewana kati ya Chid benz na dada mmoja inayesemeka ni mtu wake wa karibu aliyefahamika kwa jina moja la Aisha,Chidi kwa hasira alimporomoshea kipigo kikali Aisha na kupelekea kumngoa meno na kushonwa yuzi 6 kunako hospital ya amana ilala.
Chid benz alisekwa ndani ktka kituo cha polisi ilala mpaka siku ya jummanne na kulazimika kuvuliwa kipini chake cha pua kwa kashfa nzito kutoka kwa polisi waliokua zamu siku hiyo.
Ndipo kulitokea kutoelewana kati ya Chid benz na dada mmoja inayesemeka ni mtu wake wa karibu aliyefahamika kwa jina moja la Aisha,Chidi kwa hasira alimporomoshea kipigo kikali Aisha na kupelekea kumngoa meno na kushonwa yuzi 6 kunako hospital ya amana ilala.
Chid benz alisekwa ndani ktka kituo cha polisi ilala mpaka siku ya jummanne na kulazimika kuvuliwa kipini chake cha pua kwa kashfa nzito kutoka kwa polisi waliokua zamu siku hiyo.
ATUPWA MAHABUSU Habari zimeeleza kuwa, Chid alipofika kituoni kwa ajili ya kutoa taarifa, alidakwa na kusokomezwa mahabusu kwa vile tayari alikuwa ameshafunguliwa mashitaka. Chanzo kilichopo polisi hapo kimeliambia Amani kuwa, jamaa alipoambiwa avue mkanda ili atupwe sero alileta ubishi hivyo kusababisha polisi watumie nguvu ya ziada kumdhibiti kwa sababu alisema yeye ni mtu maarufu hivyo hawawezi kumtisha. AKUTWA NA BANGI Wakati msanii huyo anayesifika kwa sauti nzito akitaka kuingizwa ndani, alisachiwa na kukutwa na misokoto miwili ya bangi hivyo kuandikishwa kesi nyingine ya madawa ya kulevya mbali na ile ya awali ya kujeruhi.