duu kwenye gari ninayo sita na ofisini minne sijui nikaisalimishe au nikajisalimishe?
Mimi bangi labda wananikute na gunia ntashtuka wakianza na neno msokoto hakuna kesi hapo ni kwa matumizi ya kawaida ya Mtanganyika.
Bange ni madawa ya kulevya..mxxxxxxx
Kuna watu wananibishiaaa jamani bangi na madawa ya kulevyaa kipi chenye athari kubwaa??
Mi naona madawa ya kulevyaaa ni hataree kuliko bangiii au nyie mnaonajee!!?
Ukikerwaa si umpige kikubwaa aaaaa
Mi mbwa Wangu nime mvutisha sana !
Na mimi mwenyewe mpaka leo hii !
Ukiona mwanaume anampiga mwanamkee ujue huyo mwanaume ni muoga pia hajiaminiii
Polisi wa Tanzania siwaamini hata kidogo, hasa ukiwa hapo kituoni, hizo kesi za bange unapewa tu.