Acha kabisa ile kitu,nadhani shetani mwenyewe ndio chief maker...afu kinachoshangaza eti Guzman nae ana mawakili wanaomtetea,sheria kitu cha ajabu sana.
Ni hatua ya kawaida kabisa kwa watumiaji wa dawa za kulevya wanapokuwa kwny matibabu si ajabu hata akirudia tena kuvuta, ndio kipindi ambacho anatakiwa kusaidiwa kwa karibu sana tusimlaumu.
•WHY OPENLY CHEATS /
*****
CHID BENZ AMERYHUSIWA KUONDOKA SOBER HOUSE, NA YUPO MAZOEZINI AKIJARI KUTOA VIBAO VYAKE VIPYA VIWILI./
•TENDS TO VERIFY ANY INFOS...
Kwanza inakuaje anaweza kutoroka? Mi nilijua wako wasimamiwa wasitoroke 24/7.kwasababu zile siku za mwanzo wanakua bado hawajikubali. Hicho kituo nacho kizembe.