Pale hata dk 10 hajamaliza aliposema hivo akashuka,means hata yeye aliidharau hela akaona akae jukwaani kama dk 10Nitamkodi kwenye harusi ya mwanangu
kabisa...hana impact yeyote kwa sasatena hiyo laki 3 amependelewa sana.
iko kwenye mixingIle collabo yake na 2Pac hivi bado tu...?
Chiddy hampendi Harmonize. Hajawahi kumuongelea vizuri. Hata kabla ya show, alishasema kwanini wanamtangaza atakuwepo wakati hajawahi kuongea nao chochote?
Anamtazama kama dogo asiye na shukrani baada ya kuachana na WCB kwa kulaghaiwa na Clouds Media. Hana mzuka nae.
Ni dhahiri kwenye show hii Harmo alimuhitaji zaidi Chiddy kuliko kinyume chake.
Tujifunze kubalansi shobo!
Angekuwa kwa mapusha wenzie angeingiza hiyo laki 3? Baada ya hapo kaingiza kiasi gani? Binadamu hawana shukraniChid Benz akiwa stejini akiperform kwenye show ya Harmonize alibamba mashabiki kwa dk chache halafu akasema "napiga hii show kwa laki 3 tu kutoka kwa Rajabu Hassan ,kisha akashuka stejini.
Hii ni kama kumwaibisha mtu sasa alikubali nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Angebaki home angeiingiza pesa hiyo kwa muda aliofanya kazi? Baada ya kupata pesa hiyo kapiga show gani tena?Kwa chid anastaili lkn kipaji chake hakistahili hiyo hela
Sent from my I phone
Unajua Show ilikuwa ya nani hiyo? Na kina nani walikuwa waalikwa?Nipo na chid , harmonize anataka kufanya mambo makubwa Ila uwezo Hana , huwez kumlipa chid 300k, na ndio mana chid kaperform dk 10 Sawa Sawa na hela iliyotolewa , harmonize sio msanii mkubwa kama anavyotuaminisha aende step by step , show kama hyo Mond anamlipa chid 1.5 mil Kwa performance ya nusu saa...
Harmo anatembelea nyota ya WCB , wanaomsapoti ni Kwa sababu wanamchukia Mond na sio kwamba amewakuna Kwa uwezo wake , bado jina la Diamond Platnumz ndo linalombeba konde boy ...
Kibaya Zaid anajarbu kulazimisha kufanya mambo Kwa level Sawa na Mond ili aonekane naye ni msanii mkubwa Sawa na Mond....
Pale ndipo nilipojua Chidi dakika tatu mbele
[emoji28][emoji28] Kwan alilazimishwa![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Akishuka stejini anaelekea kinondoni mojakwamoja