BADILI TABIA JF-Expert Member Joined Jun 13, 2011 Posts 32,767 Reaction score 23,198 Feb 4, 2020 #61 Si ndio thamani yake? La sivyo angekataa Sent using Jamii Forums mobile app
J jinola hamza JF-Expert Member Joined Jul 25, 2015 Posts 657 Reaction score 441 Feb 5, 2020 #62 zinamtosha ata 50000 nyingi sana kwa unga Sent using Jamii Forums mobile app
Beira Boy JF-Expert Member Joined Aug 7, 2016 Posts 19,976 Reaction score 32,195 Feb 6, 2020 #63 Mbao za Mawe said: Hilo toto kwenye avatar umelipendea nini? Click to expand... We mbao za shanga acha umbea Sent using Jamii Forums mobile app
Mbao za Mawe said: Hilo toto kwenye avatar umelipendea nini? Click to expand... We mbao za shanga acha umbea Sent using Jamii Forums mobile app
Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,420 Reaction score 18,298 Feb 6, 2020 Thread starter #64 Ni kweli bei show ni siri kutokana na makubaliano,maana kutaja bei pia nikujishusha hadhi kama ni bei ndogo Mr Misifa said: Wakuu wanajihalibia hata siku nyingine watu watashindwa kumpa hata hiyo laki3 kwa show kwa kuogopa kusemwa stejini nguri huyo [emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23] Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli bei show ni siri kutokana na makubaliano,maana kutaja bei pia nikujishusha hadhi kama ni bei ndogo Mr Misifa said: Wakuu wanajihalibia hata siku nyingine watu watashindwa kumpa hata hiyo laki3 kwa show kwa kuogopa kusemwa stejini nguri huyo [emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23] Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
kasulavenance JF-Expert Member Joined Jan 23, 2020 Posts 759 Reaction score 914 Feb 7, 2020 #65 nguvu said: Mbona wakipewa hizo laki mnasema wananyonywa!! Click to expand... LABDA WEWE NDIO UNASEMA.MIMI SIJAWAHI PENDA WAKIPERFORM LIVE KWANI HAWAJUI NA HUWA NASHANGAA KWANINI WANALIPWA
nguvu said: Mbona wakipewa hizo laki mnasema wananyonywa!! Click to expand... LABDA WEWE NDIO UNASEMA.MIMI SIJAWAHI PENDA WAKIPERFORM LIVE KWANI HAWAJUI NA HUWA NASHANGAA KWANINI WANALIPWA