Chidi Benz: Sikumuomba Diamond arekodi chorus, amesababisha wimbo wangu kupotea

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Rapa Chidi Benz anadai kuwa staa wa Bongo Fleva Diamond Platnumz alisababisha wimbo wake upotee baada ya kuingiza chorus bila ridhaa yake na kisha kuutelekeza studio kwa S2kizzy.
Diamond alifanya kama msaada amrudishe kwenye game yeye analeta ujuaji . Kama aliingiza chorus kwanini asingefuatilia mambo yaliyobaki kama video etc..

Na kwanini presenters hawajambana vizuri na maswali pia
 
Diamond alifanya kama msaada amrudishe kwenye game yeye analeta ujuaji . Kama aliingiza chorus kwanini asingefuatilia mambo yaliyobaki kama video etc..

Na kwanini presenters hawajambana vizuri na maswali pia
DIamond amrudishe vipi chidi benz kwenye game asiyoijua, huyo jamaa yako hakufanya fair amekosa heshima kamchukulia Chid hatofanya lolote kwa kuwa jamaa majalala!
 
DIamond amrudishe vipi chidi benz kwenye game asiyoijua, huyo jamaa yako hakufanya fair amekosa heshima kamchukulia Chid hatofanya lolote kwa kuwa jamaa majalala!
Yani huyo MLEVI na yule mpumbavu mwenzie wa siamini...wangetupwa jela tu sanaa itulie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…