GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Ni dawa ya asili ambayo ina karaha kidogo yaani yataka moyo,
huwezi kuamini ndani ya masaa machache unakuwa umeshapata
nafuu.
Inafanywa hivi,
Chemsha maji yawe ya moto kiasi ambacho mtu anaweza kuoga
bila shaka kwa wale wa maeneo ya baridi wanafahamu vema joto
la maji ya kuoga.
Chukua Keni ile inayotumika kuingizia mafuta ya kula au ya taa kwenye
chupa yenye mdomo mdogo, Ingiza hiyo Keni makalioni kisha miminia maji
hayo ya moto makalioni kupitia hiyo keni.
KITAKACHOTOKEA:
Utaharisha sana. Zoezi hilo litaisha kwa kujisikia hamu ya kula na
kujikuta ukirudiwa na afya. Najua wapo wanaoifahamu vizuri dawa
hii ya aina yake naomba wanisaidie kutoa ushuhuda wao hapa ili isije
kuonekana kuwa ni utani.
KILA LA HERI KWA WATAKAOJARIBU.
huwezi kuamini ndani ya masaa machache unakuwa umeshapata
nafuu.
Inafanywa hivi,
Chemsha maji yawe ya moto kiasi ambacho mtu anaweza kuoga
bila shaka kwa wale wa maeneo ya baridi wanafahamu vema joto
la maji ya kuoga.
Chukua Keni ile inayotumika kuingizia mafuta ya kula au ya taa kwenye
chupa yenye mdomo mdogo, Ingiza hiyo Keni makalioni kisha miminia maji
hayo ya moto makalioni kupitia hiyo keni.
KITAKACHOTOKEA:
Utaharisha sana. Zoezi hilo litaisha kwa kujisikia hamu ya kula na
kujikuta ukirudiwa na afya. Najua wapo wanaoifahamu vizuri dawa
hii ya aina yake naomba wanisaidie kutoa ushuhuda wao hapa ili isije
kuonekana kuwa ni utani.
KILA LA HERI KWA WATAKAOJARIBU.