Kakamatwa Dodoma na kete za madawa na bange, wakati akijiandaa kufanya show Dom. Alikamatwa uwanja wa ndege na kete pamoja bange mpaka msala ulitaka umdondokee Shetta. Sasa yy mwenyewe haoni kama akipewa show atawapa tabu wenzake, manake yeye starter yake mpaka ajidunge ndio aimbe, bora walivyomuacha.