DOKEZO Chief Executive TARURA, Chunguza Manager wako wa Wilaya Busega Bwana Mwita Muhochi

DOKEZO Chief Executive TARURA, Chunguza Manager wako wa Wilaya Busega Bwana Mwita Muhochi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Benbelas

New Member
Joined
May 11, 2013
Posts
1
Reaction score
0
Huyu Bwana Mwita Muhochi ni mtu wa rushwa na hana msaada kabisa kwa wakandarasi. Ni mnyanyasaji na hana roho ya utu. Yeye anadhani yupo ofisini kwa ajili ya tumbo lake na si kuhudumia umma wa Watanzania. Ninakushauri utumie vyombo vya usalama na vya kiuchunguzi kumchunguza mtu huyu.

Hakika utanishukuru, kwani yeye ni miongoni mwa watu wanaorudisha nyuma kazi, na kazi zake huishia kwenye migogoro tu na wakandarasi. Vyombo vya usalama na uchunguzi viwafuate wakandarasi wote waliopo site Wilaya ya Busega kwa sasa, waulize namna anavyowanyanyasa na kuwalazimisha wampe rushwa.

Mimi wakifika, nitawaambia ukweli mpaka ushahidi nitautoa. Imefika hatua kamtaka mkandarasi ampe asilimia tano ya malipo ya mkataba wake kama rushwa, na mkandarasi kamwambia "fanya wewe kazi hii, halafu mimi unipe hiyo asilimia tano." Mpaka sasa, mkandarasi hajalipwa, anazungushwa tu.
 
Dah.... Namjua huyu Muhochi, ni manager wa hovyo sana huyu, katika mamanager wanaopenda rushwa waliowahi kutokea tanzania hii, huyu ni namba moja.

Sijui kwanini mpaka leo bado yupo ofisini mimi niliwahi kumtamkia maneno mazito sana kwa mtu mwenye akili angejifakali na kuacha ujinga wake.

Sasa hivi wakandarasi wengi waliacha kuomba kazi Busega kwa sababu ya huyu mtu, mimi alinisumbua sana pamoja na kumpa pesa lakini bado alinisumbua akidai aitoshi utadhani kazi anafanya yeye au amechangia mtaji, na anapenda sana kuwasingizia mbunge na mabosi wa mkoani kuwa wanataka mgao. Chief TARURA huyu mtu siyo.
 
Back
Top Bottom