Isaya wa njombe
Senior Member
- Apr 2, 2023
- 191
- 385
Da unataka useme mtu apaauliwe linda ndio apewe utajir kama huo labda ungesema ngada ..siku hizi wengi wanaliwa
Machoko ndowamechoka kuliko makahaba ya kimboka, danganya wengine mm nakaa nao nawajuasiku hizi wengi wanaliwa
Dogo ni mshamba ila pesa anazo pesa haijifichi nyumba anayoishi na mazingira anayotembelea kula Bata ni sehemu ghali sana shida haieleweki anafanya kazi gani post zake inaonesha wazi kuna kitu kinamtesa hayupo vizuri saikolojia yake.Ni mshamba mmoja hv alieziotea hela kiasi za 'masharti' anawavimbia wajinga na washamba wenzie huko isnta na tiktok... yaan kiufup ni limbukeni. Sio kwamba nna muonea wivu hapana nyie fatilieni video zake huko mtajiridhisha.. unakuta kabeba mbwa wake kawafunga na minyororo...
Da yani uwe na mihela vile halafu sio za masharti utaenjoy sanadogo ni mshamba ila pesa anazo pesa haijifichi nyumba anayoishi na mazingira anayotembelea kula Bata ni sehemu ghari sana shida haieleweki anafanya kazi gani post zake inaonesha wazi kuna kitu kinamtesa hayupo vizuri saikolojia yake
Nakazia hapa pesa uwe nayo ikufurahishe usikute jamaa watoto wazuri hapa town anawapigia nyeto tu sema ukimchunguza sana kisaikolojia hayuko sawa anatumia ile kuvimba kujiweka sawa kisycolojia...Ni mshamba mmoja hv alieziotea hela kiasi za 'masharti' anawavimbia wajinga na washamba wenzie huko isnta na tiktok... yaan kiufup ni limbukeni ! Sio kwamba nna muonea wivu hapana nyie fatilieni video zake huko mtajiridhisha.. unakuta kabeba mbwa wake kawafunga na minyororo
Kuhusu masharti sijui ila kwa ulimbukeni anao sana.Ni mshamba mmoja hv alieziotea hela kiasi za 'masharti' anawavimbia wajinga na washamba wenzie huko isnta na tiktok... yaan kiufup ni limbukeni ....
Najarbu kufikiri endapo ungepata pesa kama zile@Mpwayungu Village jinsi ambavyo ungewatukana walimu na maafisa elimu...Machoko ndowamechoka kuliko makahaba ya kimboka, danganya wengine mm nakaa nao nawajua
Kwani we umeacha ??Machoko ndowamechoka kuliko makahaba ya kimboka, danganya wengine mm nakaa nao nawajua
Wachache sana wana uhuru wa kweli wa kuwa na fedha nyingi bila masharti. Unaweza na wewe.Da yani uwe na mihela vile halafu sio za masharti utaenjoy sana
Tutake radhi wahaya@ Mo π€£π€£π€£π€£π€£Mshamba atakuwa wa Mbeya au mhaya
πππTutake radhi wahaya@ Mo π€£π€£π€£π€£π€£
Nimecheka kinoma yaansiku hizi wengi wanaliwa
Mb zako weka mtazamo wakoDa unataka useme mtu apaauliwe linda ndio apewe utajir kama huo labda ungesema ngada ..
Ngoja waje π€£π€£π€£ππ @ Wahayaπππ