ni kweli wakenya wako serious na kazi, hiyo interview ya chief justice nimeiona inarushwa live, hivyo watampata mtu ambae ni compentent sio kama hapa kwenu mtu anaibuka from no where, kenya wanaangalia interglity, anapohojiwa mtu live inawapa nafasi watu kusema competecy na intergrity ya mtu tanzania tujifunze.