Chief Mkwawa au Yeyote mwenye kuifahamu ROKU au Chrome Cast

Chief Mkwawa au Yeyote mwenye kuifahamu ROKU au Chrome Cast

wakurochi

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2017
Posts
2,647
Reaction score
2,951
Watalaam, nimemtaja Chief Mkwawa sababu alinisaidia kupata Amazone fire Stick.
Sasa nina mdogo wangu anataka kuninulia mida hii Roku au Chrome cast UK, Manchester yaani nitayochagua. Imebidi niulize wadau kama mwenye ufahamu wa hivyo vifaa anipe elimu.

TV yangu 55" sio smart tv, hivyo Amazon fire stick inasaidia ila bwana mdogo anataka aniongezee hivyo vifaa.

Nawasilisha
 
Siku nyingine ukiwa unaomba msaada humu uwe unaomba ili yeyote akusaidie sio kutajataja watu. Huo ni ubaguzi na kama tukiamua kusaidiana kwa makundi basi hatutasonga mbele
 
Back
Top Bottom