Chief of Staff wa IDF amekoswakoswa tena wanne wauwawa huko Jabalia

Chief of Staff wa IDF amekoswakoswa tena wanne wauwawa huko Jabalia

green rajab

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
12,387
Reaction score
39,119
Mnadhimu wa Jeshi la Wanamgambo Israel amekoswakoswa na kuuwawa baada ya nyumba aliyokuwemo kulipuliwa na Wanajeshi wa Hamas. Lt Gen Halev alikua katika majukumu yake ya kukagua wanamgambo katika uwanja wa vita.. Shambulio hilo limeondoka na wanamgambo wanne.

BREAKING: HAMAS TARGET HOUSE WHERE ISRAELI CHIEF OF STAFF WAS LOCATED

- Hamas target a house shortly after Israeli Chief of Staff, Herzi Halevi, left in the northern Gaza Strip.

- An anti-tank shell was fired at the house where Halevi was conducting a field assessment where the Israeli forces were carrying out a military operation in the northern Gaza Strip.

- The Israeli army at the time conceded that 4 soldiers from the 888 Multidimensional Unit were killed in the targeting of the house in the Jabalia camp.

IMG_20241031_171722.jpg
 
Mnadhimu wa Jeshi la Wanamgambo Israel amekoswakoswa na kuuwawa baada ya nyumba aliyokuwemo kulipuliwa na Wanajeshi wa Hamas. Lt Gen Halev alikua katika majukumu yake ya kukagua wanamgambo katika uwanja wa vita.. Shambulio hilo limeondoka na wanamgambo wanne.

BREAKING: HAMAS TARGET HOUSE WHERE ISRAELI CHIEF OF STAFF WAS LOCATED

- Hamas target a house shortly after Israeli Chief of Staff, Herzi Halevi, left in the northern Gaza Strip.

- An anti-tank shell was fired at the house where Halevi was conducting a field assessment where the Israeli forces were carrying out a military operation in the northern Gaza Strip.

- The Israeli army at the time conceded that 4 soldiers from the 888 Multidimensional Unit were killed in the targeting of the house in the Jabalia camp.

View attachment 3139930
Mlisema amesha Kufa?!
 
  • Thanks
Reactions: FWC
Ama kweli kuruka kwa maharage ndio kuiva kwake mara aliuawa mpaka kibibi fox kilikata mauno kwa furaha ghafla tena leo kakoswa koswa,upuuuzi mtupu mnakosa kosa wakati wenzenu wakipiga wanafumua kweli mara Sina wali kafumuliwa mara Nasra mara sijui nani husikii kukoswa koswa nii tiiiii taaaaaa kilemba kule
 
Ama kweli kuruka kwa maharage ndio kuiva kwake mara aliuawa mpaka kibibi fox kilikata mauno kwa furaha ghafla tena leo kakoswa koswa,upuuuzi mtupu mnakosa kosa wakati wenzenu wakipiga wanafumua kweli mara Sina wali kafumuliwa mara Nasra mara sijui nani husikii kukoswa koswa nii tiiiii taaaaaa kilemba kule
BREAKING:

🇮🇱🇵🇸 Multiple reports that Chief of the General Staff of Israel Herzi Halevi survived assassination attempt two days ago

On October 29th, Hamas targeted a house where Halevi was staying for an assessment in the Northern Gaza Strip.

The Palestinians fired an ATGM at the house where Halevi was present, but they failed to kill him.

4 soldiers from its “Ghost Unit” were killed in that house, and the IDF admitted these losses.
 
Ule uzi wa msikiti TV uliosema mkuu wa majeshi wa Israel ameuwawa na Hezbollar hadi leo haujafutwa... hii imaonesha na kuprove kuwa Muslims ni wadanganyifu hadi kiama
 
Ule uzi wa msikiti TV uliosema mkuu wa majeshi wa Israel ameuwawa na Hezbollar hadi leo haujafutwa... hii imaonesha na kuprove kuwa Muslims ni wadanganyifu hadi kiama
Dini
Imeingiaje apo nyiye watu wazima kwelu vichwani akuna majukwaa ya Dini ukaenda uko kubishana jamaaa ajaweka Dini au kwakua jina Rajabu tukiwaita nazwazwa ya Dini tutakosea!!! Brother kunawakati changia usilenge Dini pengine unamichango mizuli lkn Dini isikupalame sana seem sio yDini msiingine Dini kila mtu analalamika jukwaaa kuwa seem ya kashfa za Dini inachosha yani ukichangia tu Dini. Mnazingua sasa ndio mana wanaingia wachache sana mtu aingie akute anatukaniwa mungu wake Nabii wake mchungaji wake. Jibu oja awakufa wanne sio Duni.
 
i kikuuma habari naww lete yako Wapalestina kazaa au mnaitaga magaidi kadhaa wamekufa nayeye si ataumia kama ulivoumia ww lkn DIni kama ikiwa akuna hoja ya Dini sio kila mtu anapendezwa kuona mungu wake anadhalilishwa iwe w kikristu au ki Islam wote awapendi tuacheni iyo mambo pengine jukwaa litavutia watu. Wengi. Kuchangia.,,
 
Back
Top Bottom