Chifu Mkwawa alijinyonga au zilikuwa ni Siasa tu za Wajerumani ili waondoke naye?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Huyu dogo kaniuliza swali tata sana

Kwamba baada ya kujinyonga ndipo mjerumani akatenganisha kichwa na mwili kisha kichwa wakakipeleka Ujerumani

Ngoja nitafakari kabla ya Kujibu!
 
Nilienda Kalenga, kwenye ile fuvu lake, unakuta kuna risasi au kovu la risasi kwenye fuvu. Usikute alipigwa shaba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…