Drjacka92
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 445
- 522
Katika Kuhakikisha anatokomeza Uchifu hapa nchini, Mwalimu Nyerere aliwaza kuwapa madaraka mengine makubwa zaidi Serikalini. Katika Kuhakikisha anafanikiwa aliwataka machifu wakagombee Ubunge kwenye maeneo yao.
Hapo ndipo Utata ulianza MKWAWA alipinga suala la kwenda kuwapigia magoti na kuwasihi wananchi wake wampe kura ,alikataa katakata japo baadhi ya machifu waligombea na wakapata. Nyerere aliamua kumpa Chifu MKWAWA u Spika wa Bunge. MKWAWA ndie Spika wa Bunge aliyeongoza Kwa muda mrefu tangu 1962-1973 kisha akawa waziri, ilipofika mwaka 1975 alipewa tena Uspika mpaka 1994.
Na hali hiyo ndio imepelekea Uspika wa Bunge kupewa mtu yeyote hata asiye MBUNGE, kitu ambacho Kinalalamikiwa kuwa kinapelekea Kulifanya Bunge kuwa Bubu.
Hapo ndipo Utata ulianza MKWAWA alipinga suala la kwenda kuwapigia magoti na kuwasihi wananchi wake wampe kura ,alikataa katakata japo baadhi ya machifu waligombea na wakapata. Nyerere aliamua kumpa Chifu MKWAWA u Spika wa Bunge. MKWAWA ndie Spika wa Bunge aliyeongoza Kwa muda mrefu tangu 1962-1973 kisha akawa waziri, ilipofika mwaka 1975 alipewa tena Uspika mpaka 1994.
Na hali hiyo ndio imepelekea Uspika wa Bunge kupewa mtu yeyote hata asiye MBUNGE, kitu ambacho Kinalalamikiwa kuwa kinapelekea Kulifanya Bunge kuwa Bubu.