Chifu wa kabila la Wasafwa Mbeya

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
HUYU NDIYE CHIFU WA KABILA LA WASAFWA MBEYA, CHIFU ROCKET MWASHINGA
Wasafwa
ni kabila kutoka eneo la milima ya mkoa wa Mbeya, nchini Tanzania. Mwaka 1987 idadi ya Wasafwa ilikadiriwa kuwa 158,000 [1]. Wako hasa katika wilaya za Mbeya vijijini,[Mbeya mjini] Mbozi na Chunya Lugha yao ni Kisafwa.
  • Matambiko, ngoma, elimu ya kitamaduni
  • Maono , kuenzi , kukuza mila na desturi nzuri katika jamii
  • Historia ya machifu waliopita
  • tukumbuke tulikotoka asili za kiafrika, tamaduni na mabaraza ya wazee
Source: MichuziTV
 
Hao ndugu zangu walikuwa na tatizo la kuficha kabila lao nyuma ya unyakyusa.

Kwa historia mubashara, hao ndio wenye mkoa wa Mbeya, na jina mbeya likiwa na maana ya CHUMVI kutoka kwenye lugha hiyo kwa kadiri ya nikumbukavyo.

Prof. Tolly Mbwete ni mmoja wa kabila hilo, majina kama Gonde, Gondwe, Mwashinga, n.k
 

Majina Mengine ya kisafwa ni Nsungwe, waambi, kaaroti, mbushi, simwalyego, ntuta, mwene, mbwiga, Njowela, Yete, nduuka, mbago, nsalu, Nyelenga, Sintemle, Katembo na mengine mengi.
 


Toka rungwe Wanyakyusa walikuja mby mjini kufanya vibarua kwenye mashamba ya wasafwa.
Walipoanza kuwa weengi wasafwa wakaamua kuenda kukaa milimani!!! Hawakutaka wageni waharibu utamaduni wao. Labda!
 
Hawa ndio machifu waliokuwa machawa wa ukoloni ndio maana hawako kwenye mitaala......
 
Ni Wanyakyusa ndiyo wanalazimisha kusema Wasafwa na wao ni watu wamoja, kitu ambacho siyo kweli


Msafwa ana sababu gani ya kujificha nyuma ya Wanyakyusa?
Mkuu, we ni msafwa wa maeneo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…