ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,938
- 6,942
Kuna mwamba kutoka Mbeya anaitwa Chikumbalanga. Mwaka wa 2018-2020 ilikuwa boom kwake. Alijizolea umaarufu na akaanza kupata matangazo ya kibiashara.
Mabeberu wakambrand, akawa hot mjini. Lkn leo hii akaunt zote alizokuwa anatumia hazijulikani zilipo. Iliyopo, post ya mwisho ni muda sasa.
Mabeberu wakambrand, akawa hot mjini. Lkn leo hii akaunt zote alizokuwa anatumia hazijulikani zilipo. Iliyopo, post ya mwisho ni muda sasa.
Wapi alipo mwamba huyu?