Sasahiv mzee wa mjegeje ndo anatambaIla tending ya hawa wachekeshaji ni kwa muda baada ya chiku akaja MC mboneke wa irudiwee kutoka huko Mbeya na sasa yupo wa songea wa ndugu waandishi wa habari
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Juzi nlimuona pale stendi ya tunduma ana gongea juisi.
Mboneke ana vitu vingi na hahitaji kutengenezwa. Mzee wa waandishi wa habari na Chikumbalanga wanahitaji juhudi za watu wengine ili watusue. Mboneke ni Mc, mchekeshaji, msanii wa comedy, filamu, dalali n.k. Bado atakaa mjini sana na ameanza kuwa mweupe sasaIla tending ya hawa wachekeshaji ni kwa muda baada ya chiku akaja MC mboneke wa irudiwee kutoka huko Mbeya na sasa yupo wa songea wa ndugu waandishi wa habari
Kweli mboneke anakuja kivingine yaani ana njia nyingi za kutusua mjini.Mboneke ana vitu vingi na hahitaji kutengenezwa. Mzee wa waandishi wa habari na Chikumbalanga wanahitaji juhudi za watu wengine ili watusue. Mboneke ni Mc, mchekeshaji, msanii wa comedy, filamu, dalali n.k. Bado atakaa mjini sana na ameanza kuwa mweupe sasa