Yule kocha mtukutu na msema hovyo ambae aliwahi kuwata Watani kwamba Manyani, kauli yake hiyo inaendelea kumtafuna. Baada ya Eymael kutupiwa virago na Vyura wa Bwawa la Jangwani, miezi michache baadae, Chippa United, maarufu kama Chilli Boys wakaonesha nia thabiti ya kumpa mkataba.
Kama tujuavyo undugu tuliona nao kati ya Nyumba ya Julius Kambarage, na Home kwa Babu Mzee Madiba, chama cha soka nchini humo kilianza kupinga mwanzoni kabisa wakati Chilli Boys walipoonesha nia ya kumpa ajira Kaburu huyo kutoka Ubelgiji.
Nadhani Uongozi wa Chilli Boys wakadhani SAFA wanatania kutomtaka Kiboko ya Watani lakini baada ya kukumbana na pressure kutoka kila kona hususani kutoka SAFA pamoja na Serikali ya Jimbo la Eastern Cape, hatimae Chilli Boys wameufyata mkia.
Sehemu ya taarifa ya Chilli Boys inasema:
Kwa kweli sifahamu niligusa nini lakini ghafla nikakuta thread imeniponyoka kabla sijaimalizia vizuri, matokeo yake hata heading niliyokuwa nimeandika mwanzo, baadhi ya maneno yamekatika. Kutokana na mapungufu hao, endapo itawapendeza basi badilisheni hiyo heading ili iendane na content.
Heading kama "Kauli ya Kibaguzi Wakati Akiwa Yanga, Yamfanya Luc Eymael Atumbuliwe Tena" nadhani itapendeza zaidi.
Kama tujuavyo undugu tuliona nao kati ya Nyumba ya Julius Kambarage, na Home kwa Babu Mzee Madiba, chama cha soka nchini humo kilianza kupinga mwanzoni kabisa wakati Chilli Boys walipoonesha nia ya kumpa ajira Kaburu huyo kutoka Ubelgiji.
Nadhani Uongozi wa Chilli Boys wakadhani SAFA wanatania kutomtaka Kiboko ya Watani lakini baada ya kukumbana na pressure kutoka kila kona hususani kutoka SAFA pamoja na Serikali ya Jimbo la Eastern Cape, hatimae Chilli Boys wameufyata mkia.
Sehemu ya taarifa ya Chilli Boys inasema:
The Club would like to formally announce that it has withdrawn the appointment of Belgian, Luc Eymael. When processes are complete, a new coaching announcement will be made in due course. After having announced Mr. Eymael's appointment until the end of the season on Wednesday, 23 December 2020 - the Club has considered public outrage. There was also the reputational damage caused to our brand, and that of our stakeholders, partners as well as our sponsors.
Kwa kweli sifahamu niligusa nini lakini ghafla nikakuta thread imeniponyoka kabla sijaimalizia vizuri, matokeo yake hata heading niliyokuwa nimeandika mwanzo, baadhi ya maneno yamekatika. Kutokana na mapungufu hao, endapo itawapendeza basi badilisheni hiyo heading ili iendane na content.
Heading kama "Kauli ya Kibaguzi Wakati Akiwa Yanga, Yamfanya Luc Eymael Atumbuliwe Tena" nadhani itapendeza zaidi.