Chimbo la leather/ngozi

Chimbo la leather/ngozi

serio

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2011
Posts
7,340
Reaction score
4,734
Habari wanajukwaa...

Naomba kujuzwa ni wapi nitapata finished leather( ngozi) kwajili ya kutengeneza mabegi, wallets na leather products nyingine....?

Natanguliza shukrani.
 
Mkuu jitahidi sana watoto wako wasikimbie umande, maana ukikosa elimu umekosa mengi
Camera naiuza njoo na 800k ni mpya kabisa njoo inbox tuongee haina tatizo lolote ni mpya kabisa imetumika miezi mitatu tu bland Nikon D3500 pia Nina copy machine HP coloured nayo ni mpya ina miezi mitatu tu lisit zipo INA warranty zake bado hazijaisha bidhaa in good conditions wala haina tatizo lolote njoo inbox tuongee maongezi na kupunguziana kupo



[emoji724] *DALALI HAHITAJIKI FOR SERIUS BUYER ONLY*


Au WhatsApp me 0656958801
 
Camera naiuza njoo na 800k ni mpya kabisa njoo inbox tuongee haina tatizo lolote ni mpya kabisa imetumika miezi mitatu tu bland Nikon D3500 pia Nina copy machine HP coloured nayo ni mpya ina miezi mitatu tu lisit zipo INA warranty zake bado hazijaisha bidhaa in good conditions wala haina tatizo lolote njoo inbox tuongee maongezi na kupunguziana kupo



[emoji724] *DALALI HAHITAJIKI FOR SERIUS BUYER ONLY*


Au WhatsApp me 0656958801
Ni mpya kabisa halafu imetumika miezi mitatu??? Acha udwanzi babuu,.halafu hapa sio instagram kudandia treni kwa mbele...kama una biashara yako fungua uzi wako jukwaa husika...

Usituchoshe tafadhali.
 
Camera naiuza njoo na 800k ni mpya kabisa njoo inbox tuongee haina tatizo lolote ni mpya kabisa imetumika miezi mitatu tu bland Nikon D3500 pia Nina copy machine HP coloured nayo ni mpya ina miezi mitatu tu lisit zipo INA warranty zake bado hazijaisha bidhaa in good conditions wala haina tatizo lolote njoo inbox tuongee maongezi na kupunguziana kupo



[emoji724] *DALALI HAHITAJIKI FOR SERIUS BUYER ONLY*


Au WhatsApp me 0656958801
mkuu mbona unaua post ya mwenzako??
 
Kuna jamaa wanaitwa WOISO nasikia wana kiwanda jaribu kuwatafuta, ni wauzaji wa bidhaa ngozi.
 
T
Habari wanajukwaa...

Naomba kujuzwa ni wapi nitapata finished leather( ngozi) kwajili ya kutengeneza mabegi, wallets na leather products nyingine....?

Natqnguliza shukrani.
 
6jm
Habari wanajukwaa...

Naomba kujuzwa ni wapi nitapata finished leather( ngozi) kwajili ya kutengeneza mabegi, wallets na leather products nyingine....?

Natqnguliza shukrani.
Ny_o6kmmlhgloyll6kj6nlh
 
nicheki mkuu pm nikupe no zangu tuongee mm napiga masai sandals kwa hiyo nauzoefu na maswala ya ngozi
 
Safi kazi nzuri,

Mje sasa niwatengenezee branding stamp, na mashine zake zinapatikana pia.

IMG_20240317_144750.jpg

IMG_20240317_145040.jpg
IMG_20240317_145028.jpg



Untitled.jpg
 
Back
Top Bottom