Camera naiuza njoo na 800k ni mpya kabisa njoo inbox tuongee haina tatizo lolote ni mpya kabisa imetumika miezi mitatu tu bland Nikon D3500 pia Nina copy machine HP coloured nayo ni mpya ina miezi mitatu tu lisit zipo INA warranty zake bado hazijaisha bidhaa in good conditions wala haina tatizo lolote njoo inbox tuongee maongezi na kupunguziana kupo
[emoji724] *DALALI HAHITAJIKI FOR SERIUS BUYER ONLY*
Au WhatsApp me 0656958801
Ni mpya kabisa halafu imetumika miezi mitatu??? Acha udwanzi babuu,.halafu hapa sio instagram kudandia treni kwa mbele...kama una biashara yako fungua uzi wako jukwaa husika...Camera naiuza njoo na 800k ni mpya kabisa njoo inbox tuongee haina tatizo lolote ni mpya kabisa imetumika miezi mitatu tu bland Nikon D3500 pia Nina copy machine HP coloured nayo ni mpya ina miezi mitatu tu lisit zipo INA warranty zake bado hazijaisha bidhaa in good conditions wala haina tatizo lolote njoo inbox tuongee maongezi na kupunguziana kupo
[emoji724] *DALALI HAHITAJIKI FOR SERIUS BUYER ONLY*
Au WhatsApp me 0656958801
Sorry mkuuNi mpya kabisa halafu imetumika miezi mitatu??? Acha udwanzi babuu,.halafu hapa sio instagram kudandia treni kwa mbele...kama una biashara yako fungua uzi wako jukwaa husika...
Usituchoshe tafadhali.
Sorry pia.Sorry mkuu
Ni mpya kabisa halafu imetumika miezi mitatu??? Acha udwanzi babuu,.halafu hapa sio instagram kudandia treni kwa mbele...kama una biashara yako fungua uzi wako jukwaa husika...
Usituchoshe tafadhali.
mkuu mbona unaua post ya mwenzako??Camera naiuza njoo na 800k ni mpya kabisa njoo inbox tuongee haina tatizo lolote ni mpya kabisa imetumika miezi mitatu tu bland Nikon D3500 pia Nina copy machine HP coloured nayo ni mpya ina miezi mitatu tu lisit zipo INA warranty zake bado hazijaisha bidhaa in good conditions wala haina tatizo lolote njoo inbox tuongee maongezi na kupunguziana kupo
[emoji724] *DALALI HAHITAJIKI FOR SERIUS BUYER ONLY*
Au WhatsApp me 0656958801
Sikufukuzi buanaa😉Mother Confessor siku nikija kwako na text usinifukuze sawaaa
Habari wanajukwaa...
Naomba kujuzwa ni wapi nitapata finished leather( ngozi) kwajili ya kutengeneza mabegi, wallets na leather products nyingine....?
Natqnguliza shukrani.
Ny_o6kmmlhgloyll6kj6nlhHabari wanajukwaa...
Naomba kujuzwa ni wapi nitapata finished leather( ngozi) kwajili ya kutengeneza mabegi, wallets na leather products nyingine....?
Natqnguliza shukrani.
Safi kazi nzuri,