kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
Ukiwa unatokea kituo cha polisi msimbazi, unanyoosha na barabara ya kuelekea sokoni, ukifika pale wanaita shimoni....upande wa kulia kuna maduka kibao yanauza nguo za watoto umri huo bei chee sana.Wadau nahitaji kuchukua wapi naweza kupata nguo za watoto umri 0 mpka 3 special huko kariakoo bei iwe simple maana kuna sehemu nataka niuze
AhsanteUkiwa unatokea kituo cha polisi msimbazi, unanyoosha na barabara ya kuelekea sokoni, ukifika pale wanaita shimoni....upande wa kulia kuna maduka kibao yanauza nguo za watoto umri huo bei chee sana.
saw sawUkiwa unatokea kituo cha polisi msimbazi, unanyoosha na barabara ya kuelekea sokoni, ukifika pale wanaita shimoni....upande wa kulia kuna maduka kibao yanauza nguo za watoto umri huo bei chee sana.
Saw saw ni nini??saw saw
ni sawaSaw saw ni nini??