Chimbo la Ream paper

Chimbo la Ream paper

mfuga kuku

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2014
Posts
824
Reaction score
650
Wana Bodi za jioni,

Nina biashara ya steshenari huko pande za mikoani! Jana nilikua Kariakoo kufunga mzigo! Lakini lile duka ambalo nilikua nanunulia mzigo nilikua nashuhudia muuzaji akiwatuma vijana kunitafutia ream toka katika chimbo ambalo sikua nalijua! Nikahisi kuna chimbo ambalo bei iko chini zaidi maana jamaa alikua ananipiga carton kwa 39,000/=

Naomba kama kuna mdau anajua chimbo la hizi ream anijulishe maana mwezi Novemba nakusudia kuchukua mzigo mkubwa zaidi kwa ajili ya wateja wangu.

Natanguliza shukrani.
 
Wana Bodi za jioni, nna biashara ya kasteshenari huko pande za mikoani! Jana nilikua kaariakoo kufunga mzigo! Lkn lile duka ambalo nilikua nanunulia
Next time ukienda, nenda na kijana yoyote, then huyo kijana akae pembeni, we ukishatoa Oda, wakati anatoka kufuata huko wanapochukua, uyo kijana awafuate kimtindo kwa nyuma nyuma atapajua tu.
 
Aina gani ya ream?
A4
images.jpg
 
Next time ukienda, nenda na kijana yoyote, then huyo kijana akae pembeni, we ukishatoa Oda, wakati anatoka kufuata huko wanapochukua, uyo kijana awafuate kimtindo kwa nyuma nyuma atapajua tu.
Ushauri murua huu.
 
Wana Bodi za jioni,

Nina biashara ya steshenari huko pande za mikoani! Jana nilikua Kariakoo kufunga mzigo! Lakini lile duka ambalo nilikua nanunulia mzigo nilikua nashuhudia muuzaji akiwatuma vijana kunitafutia ream toka katika chimbo ambalo sikua nalijua! Nikahisi kuna chimbo ambalo bei iko chini zaidi maana jamaa alikua ananipiga carton kwa 39,000/=

Naomba kama kuna mdau anajua chimbo la hizi ream anijulishe maana mwezi Novemba nakusudia kuchukua mzigo mkubwa zaidi kwa ajili ya wateja wangu.

Natanguliza shukrani.
Sio kila kitu lazima ujue acha wapate riziki hayo ndio maisha yetu ya kariakor
 
Kwenye carton zinakaa pcs ngapi? Mkoani wanauzaje Kama dar ni 39,000/=?
 
Back
Top Bottom